Washington: Mkutano wa Kimataifa wa Ukimwi
25 Julai 2012Matangazo
Marais hao akiwemo Benjamin Mkapa wa Tanzania, Joachim Chisano wa Msumbiji, na viongozi wengine wamesema hayo mjini Washington DC kwenye mkutano wa kimataifa wa ukimwi unaohudhriwa na zaidi ya mataifa 190 duniani.
Mwandishi wetu Flora Nzema ana taarifa zaidi.
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Flora Nzema
Mhariri: Othman Miraji