1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanasheria Kenya wazungumzia kauli ya Kenyatta

4 Septemba 2017

Kenya inaendelea kugonga vichwa vya habari baaada ya tukio la wiki iliyopita, ambapo Mahakama ya Juu nchini humo ilibatilisha matokeo yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Agosti 8 na kutaka uchaguzi wa urais urudiwe ndani ya siku 60.

https://p.dw.com/p/2jK2i

Rais Kenyatta alisikika akitoa kauli zinazoelezwa kuwa ni za vitisho kwa uhuru na utendaji wa mahakama, huku akiyakosoa vikali maamuzi ya majaji wa mahakama.

Lilian Mtono amezungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa chama cha wanasheria aliyeko Nairobi, Kenya Mercy Wambua, ili kufahamu jinsi wanasheria walivyoyachukulia matamshi hayo ya Rais Kenyatta. Sikiliza taarifa hii.