Wafanyakazi wa shirika la utangazaji KBC wagoma nchini Kenya
29 Februari 2012Matangazo
Wafanyikazi hao wameandamana hadi majengo ya bunge kuwasilisha yao kwa wabunge ambayo ni pamoja na kuboreshwa kwa mazingira ya kazi, kuajiriwa kwa wafanyikazi ambao wengine wa,mefanya kazi kama vibarua kwa muda wa hadi miaka saba.
Mwandishi wetu Alfred Kiti kutoka Nairobi ana taraifa zaidi.
(Kusikiliza ripoti hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Alfred Kiti
Mhariri: Mohammed Abdulrahman