Waasi wa FDLR wadhibiti maeneo yalioachwa na serikali
17 Aprili 2012Matangazo
Siku chache baada ya rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Joseph Kabila kuchukua hatua ya kusitisha operesheni za kijeshi katika mkoa Wa Kivu ya kaskazini, na kutokana na kujiondoa kwa wanajeshi katika maeneo kadhaa, waasi wa kundi la FDLR wamedhibiti maeneo mengi yaliyoachwa na majeshi ya serikali. Hali hiyo imewafanya raia kuhama makaazi yao na kukimbilia mahala pengine. Hii hapa ripoti yake John Kanyunyu kutoka Bunia.
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: John Kanyunyu
Mhariri: Yusuf Saumu