Siku mbili baada ya maandamano ya wakimbizi katika mji wa Ruchuru, mkoani Kivu ya Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, ya kuiomba serikali kurudisha usalama katika maeneo walipotoka wakimbizi hao, ujumbe wa serikali kuu ya mjini Kinshasa ukiongozwa na waziri wa mambo ya ndani ulitembelea mji wa Goma kutathmini hali ya mambo.
https://p.dw.com/p/CHj9
Matangazo
Wakati huo huo, wanamgambo 60 wamejiripoti kwa jeshi la serikali mkoani Ituri wakisubiri kujumuishwa katika jeshi la nchi hiyo. Sikiliz aripoti kamili ya John Kanyunyu.