Vipi Rwanda ilivyopokea hukumu ya Theoneste Bagosora
18 Desemba 2008Matangazo
Wasema hukumu hiyo ni onyo kwa wengine ambao wangethubutu kutumia madaraka yao kukanyaga haki za watu wengine. Hata hivyo katibu mkuu wa jumuiya hiyo Benoit( soma Benua) Kaboyi, anasema hawakuridhika na hukumu kwa mtuhumiwa mwingine Kabiligi Gratian, ambaye mahakama hiyo haikumkuta na hatia.
Zaidi anayo Daniel Gakuba kutoka Kigali.