Viongozi wa umoja wa ulaya hii leo wanatarajia kuwashawishi viongozi kadhaa wa mataifa ya barani Afrika, mjini Valleta kisiwani Malta, kusaidia kuzuia wimbi la wakimbizi wanaomiminika barani Ulaya . Msikilize mchambuzi wa masuala ya kisiasa Foum Kimara aliyeko nchini Uingereza akieleza iwapo hatua hiyo itakua na tija.