Matukio ya Kisiasa
Uzushi wa kuondoshwa madarakani kwa Kanali Kiza Besigye wa chama cha FDC nchini Uganda
Viongozi wa chama cha Forum for Democratic Changes -FDC cha Uganda, wamekanusha habari zilizozagaa mjini Kampala kwamba kiongozi wa chama hicho kanali mstaafu Kiza Besigye huenda akaondolewa madaraka na wanachama kutokana na kukosa muelekeo w kuendesha chama hicho.
Kanali mstaafu Kiza Besigye wa chama cha FDC,nchini Uganda
Unaweza kusikiliza matangazo yetu hapa
Kusikiliza matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya DW, tafadhali bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini, na kuwasiliana nasi, tafadhali tuandikie moja kwa moja kupitia: kiswahili@dw.com