Kinaga Ubaga kimetuama nchini Kenya ambapo kutafanyika uchaguzi mkuu Agosti 8, 2017. Ushindani mkali unatarajiwa kati ya chama tawala Jubilee kinachoongozwa na Rais Uhuru Kenyatta, na Ushirika wa vyama vinne vya upinzani unaojulikana kama National Super alliance - NASA.
https://p.dw.com/p/2XWeg
Matangazo
Mohamed Abdul-rahman, amezungumza na Phillip Etale, Mkurugenzi wa mawasiliano wa chama cha ODM ambacho ni mshirika mmojawapo katika NASA.