Unyanyasaji wa raia wa kisomali nchini Kenya
23 Januari 2013Matangazo
Itakumbukwa mwaka 2011, kutokana na waasi wa Somalia al Shabaab wenye mfungamano na al-Qaeda kufanya mashambulizi na utekeaji nyara katika maeneo ya mpakani, jeshi la Kenya liliingia katika ardhi ya Somalia kukabiliana na kundi hilo. Hivi punde Sudi Mnette alizungumza na Kamishna wa Haki za Binaadamu wa Kenya aliyemaliza muda wake, Samuel Tororei. Kwanza alitaka kujua anafahamu nini kuhusu vitendo hivyo vya ukiukwaji wa haki za binadamu? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Josephat Charo