1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhuru wa vyombo vya Habari nchini Kenya

29 Septemba 2009

Nchini Kenya, Chama cha wamiliki wa Vyombo vya habari kimefanya mkutano wa faragha kujadili hatua za kuchukua kufuatia tangazo la serikali kuanzisha sheria mpya zitakazodhibiti matangazo na vipindi vinavyorushwa hewani.

https://p.dw.com/p/Jtcv

Chama hicho kinasema hii ni njia moja ya serikali kuingilia uhuru wa vyombo vya habari.Ili kupata kilichojiri katika mkutano wao wa leo Jane Nyingi alizungumza na mmoja wa wanachama wake Bw. Herman Igambi na kwanza alisema:

Mwandishi:Jane Nyingi

Mhariri: Mohamed Abdulrahman