1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhaba wa maji Kenya, licha ya mvua kubwa

Shisia Wasilwa
27 Aprili 2018

Licha ya mvua kubwa kunyesha nchini Kenya na maeneo mengi ya Afrika Mashariki, lakini uhaba wa maji bado ni tatizo kubwa. Je kuna mipango gani ya kuhifadhi maji ya mvua ili yaweze kuwasadia wakazi wa Kenya? Hilo ni swali analoliuliza Shisia Wasilwa katika makala ya Mtu na Mazingira.

https://p.dw.com/p/2wmVS