Uhaba wa majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR)
16 Desemba 2008Matangazo
Hatua hiyo inakuja wakati ambapo mahakama hiyo inatakiwa kuanza kusikiliza kesi mpya 10 kuanzia Januari mwakani, huku Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likiitaka mahakama hiyo kuhitimisha kazi zake ifikapo Desemba, mwakani.
Mwandishi wetu kutoka Arusha, Nicodemus Ikonko ana taarifa zaidi.