1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vitisho vya mara kwa mara

Emmanuel Lubega29 Aprili 2015

Nchini Uganda na Afrika mashariki, watu walio na ulemavu wa ngozi huishi maisha yenye changamoto nyingi tangu utotoni mwao. Lakini kadri wanavyokua, baadhi hujenga nia ya kujiamini kukabiliana na hali mbalimbali.

https://p.dw.com/p/1FH5m
Jorge Agostinho Albino-Skater in Mosambik
Picha: Carlos Litulo

Mwandishi wetu wa Kampala Emmanuel Lubega amezungumza na walemavu wa ngozi wakiwemo makanga na muuguzi.

Kusikiliza ripoti yake, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mhariri: Josephat Charo