Ugonjwa wa kifafa unahusishwa na mtu kupata wendawazimu. Hizi ni fikra na dhana ambazo hazina ukweli. Nchini Kenya Wakenya 4 kati ya 100 wanaugua ugonjwa huu unaoathiri ubongo wa mwanadamu. Wakio Mbogo yuko tayari kukuelmisha katika Makala ifuatayo ya Afya.