Udanganyifu katika uandikishaji wa wapiga kura nchini Kenya
16 Oktoba 2007
Wakati uchaguzi wa Kenya ukisubiriwa kabla ya mwisho wa mwaka huu, chama cha ODM kinachoongozwa na Raila Odinga ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho, kimesema kimegundua kadi kiasi ya 500 za uandikishwaji wapiga kura ambao si wakaazi wa eneo husika katika mkoa wa Pwani.
https://p.dw.com/p/C7hQ
Matangazo
Mohamed Abdulrahman amezungumza na kiongozi wa ODM mbunge Najib Balala na kwanza alimuuliza ilikuaje hadi wakazigundua kadi hizo za kitambulisho cha kupiga kura.