Uchaguzi visiwani Komoro
11 Juni 2007Matangazo
Lakini, kwa mujibu wa taarifa kutoka huko Nzuani, uchaguzi huo umefanyika na mgombea pekee aliyekataa wito wa tume ya uchaguzi,rais wa zamani wa kisiwa hicho, Mohammed Bakari amejitangaza kuwa mshindi.
Zaidi anatuletea mwandishi wetu Abdulrahman Baramia kutoka Moroni.