1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi mkuu waahirishwa DRC

Josephat Charo 12 Oktoba 2016

Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, CENI, imetangaza kusogeza mbele uchaguzi mkuu uliokuwa ufanyike Novemba 2016. Uchaguzi sasa utafanyika 2018. Wananchi, wapinzani na wachambuzi wanasemaje? Mada yetu kwenye kipindi cha Maoni na Josephat Charo.

https://p.dw.com/p/2R8pC