Tanzania: Kusajiliwa kwa chama kipya cha Alliance for Democratic Change
26 Machi 2012Matangazo
Mambo yote mawili yanaonesha mwamko mpya wa kisiasa katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Amina Abubakar amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Tanzania, Deusi Kibamba na kwanza alitaka kujua umuhimu wa kusajiliwa kwa chama kipya cha Alliance for Democratic Change ADC hivi sasa:
Mahojiano: Amina Abubakar/Deusi Kibamba
Mhariri: Saumu Yusuf