Marekani yasema itaendelea na mazungumzo kuukwamua mzozo wa Korea Kaskazini, Rais Nicolas Maduro apata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa magavana nchini Venezuala na kiongozi mkuu wa upinzani wa Kenya ataka maandamano yaendelee kushinikiza mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi.