Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukztana kwa kikao cha dharura baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora//Serikali ya Syria imetangaza itatuma wajumbe kwa mazungumzo ya kutafuta amani yanayoendelea Geneva//Viongozi wa Umoja wa Ulaya na wa Umoja wa Afrika kukutana Ivory Coast kwa mkutano wa kilele kuhusu maendeleo.