Rais wa Marekani Donald Trump atangaza mkakati mpya wa kijeshi kuhusu Afghanistan na eneo zima la Asia ya Kusini. Polisi nchini Uhispania yamuua mshambuliaji wa Barcelona Younes Abouyaaqoub. Na, Upinzani Angola wataka kupunguza undanganyifu wa kura kwa kutumia programu ya kompyuta.