1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 21.08.2017

Yusra Buwayhid
21 Agosti 2017

Uhispania yagundua mitungi 20 ya gesi katika jengo la wanajihadi waliofanya mashambulizi Barcelona. Merkel aishambulia Uturuki kwa utumiaji mbaya wa waranti ya Shirika la Kimataifa la Polisi – Interpol. Watu 13 wauwawa Jamhuri ya Afrika ya Kati katika mapigano kati ya Seleka na anti-Balaka.

https://p.dw.com/p/2iXiC