1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za Asubuhi 15.03.2017

Yusra Buwayhid
15 Machi 2017

Miongoni mwa taarifa: wananchi wa Uholanzi waelekea katika uchaguzi wa bunge leo hii. Umoja wa Ulaya wazindua mpango wa kuijenga tena Syria baada ya kumalizika vita. Na Moussa Faki Mahamat amechukua rasmi wadhifa wa Rais wa Halmashauri kuu ya Umoja wa Afrika.

https://p.dw.com/p/2ZBOD