1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 09.12.2016

Yusra Buwayhid
9 Desemba 2016

Umoja wa Ulaya yaziruhusu nchi wanachama kurejesha wahamiaji Ugiriki. Rais wa Korea Kusini, Park Geun-hye, apigiwa kura ya kufunguliwa mashtaka. Na, kiongozi mkuu wa upinzani nchini Ghana, Nana Akufo-Addo, adai ameshinda uchaguzi mkuu nchini humo.

https://p.dw.com/p/2TzVD