Korea Kaskazini na Korea Kusini zimekubali kufanya mazungumzo ya ngazi ya juu wiki ijayo//Kitabu kinachomkashifu vikali Rais wa Marekani Donald Trump kuchapishwa leo//Asilimia 67 ya Wajerumani wanaamini kuwa nyakati bora za utawala wa Kansela Angela Merkel zimeshapita.