SiasaKimataifaTaarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 23.04.2024To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaBakari Ubena23.04.202423 Aprili 2024Mpango wa Uingereza kuwapeleka wahamiaji nchini Rwanda waidhinishwa na Bunge. Rais wa Poland asema nchi yake iko tayari kupokea na kuhifadhi silaha za nyuklia za NATO. Viongozi wa Afrika watoa wito wa ushirikiano ili kupambana na ugaidi barani humo. https://p.dw.com/p/4f4TwMatangazo