Mamia kwa maelfu ya watu wakusanyika Washington kwenye maandamano ya wanawake dhidhi ya Rais mpya wa Marekani Donald Trump. Viongozi wa vyama vya siasa kali za za mrengo wa kulia wakutana Ujerumani kuupinga Umoja wa Ulaya. Na, kiongozi wa zamani wa Gambia Yahya Jammeh apanda ndege na kulihama taifa hilo