Marekani yaitia serikali ya Myanmar lawamani kwa mateso ya Warohingya, Umoja wa Mataifa wataka pande hasimu kwenye mzozo wa Kirkuk zijiepushe na mapigano na nchini Kenya, mkuu wa tume ya uchaguzi anasema si rahisi kuitisha uchaguzi huru na wa haki Oktoba 26.