13 Juni 2018
Matangazo
- Rais Donald Trump wa Marekani amesisitiza uamuzi wake wa kusitisha mazoezi ya kijeshi na Korea Kusini, baada ya mkutano na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.
- Saudi Arabia na washirika wake wajiandaa kwa operesheni kubwa zaidi kuwahi kufanyika dhidi ya Waasi wa Kihouthi nchini Yemen
- Vita vya maneno kati ya Ufaransa na Italia, kufuatia uamuzi wa Italia kuinyima njia meli iliyokuwa ikiwabeba wakimbizi na wahamiaji.