Matangazo
Miongoni mwa yaliyomo: Rais wa Marekani Donald Trump asema kwake suluhisho la mataifa mawili katika mzozo kati ya Israel na Palestina sio suluhisho pekee, Malaysia imewakamata wanawake wawili wanaoshukiwa kumuuwa ndugu wa kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un, na Bunge la Ulaya laidhinisha makubaliano kati ya Umoja wa Ulaya na Canada-CETA.