1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 18.09.2017

Grace Kabogo
18 Septemba 2017

Utafiti wa maoni ya wapiga kura Ujerumani umechapishwa wiki moja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu//Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel atoa wito wa kushirikiana kidiplomasia na Korea Kaskazini kukomesha mpango wake wa nyuklia//Kiongozi wa upinzani Kenya Raila Odinga atangaza kuwa muungano wake wa NASA utaendesha kampeni kushinikiza mageuzi katika tume ya uchaguzi.

https://p.dw.com/p/2k9S2