1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 16.01.2017

16 Januari 2017

Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump ameikosoa vikali sera ya Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ya kufungua milango kwa wakimbizi // Zaidi ya nchi 70 zimezitolea wito Israel na Palestina kuthibitisha upya dhamira yao kuhusu kuwepo suluhisho la mataifa mawili // Rais wa Gambia, Yahya Jammeh amefungua kesi ili kuomba amri ya mahakama kumzuia rais mteule Adama Barrow kuapishwa siku ya Alhamisi

https://p.dw.com/p/2VqLq