1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 06.02.2018

6 Februari 2018

Kamati ya upelelezi ya Baraza la Congress Marekani imepiga kura kwa kauli moja kuruhusu kuchapishwa hadharani nyaraka za siri // Shirika la upelelezi la Ujerumani limesema Korea Kaskazini ilinunua vifaa vya teknolojia kwa ajili ya mpango wake wa makombora kwa kuutumia ubalozi wake mjini Berlin // Chama tawala nchini Afrika Kusini, ANC kitafanya mkutano wa dharura kesho Jumatano.

https://p.dw.com/p/2sAmX