1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 05.04.2018

5 Aprili 2018

Urusi imeshindwa kulishawishi shirika la kimataifa la kuzuia kuenea kwa silaha za kemikali, OPCW, kushirikishwa katika uchunguzi wa shambulizi la sumu dhidi ya jasusi wa zamani wa Urusi // Rais wa Marekani Donald Trump amesaini amri ya kuvipeleka vikosi vya ulinzi katika mpaka wa Mexico // Julius Maada Bio ameshinda duru ya pili ya uchaguzi wa urais Sierra Leone

https://p.dw.com/p/2vVvo