1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 03.04.2018

3 Aprili 2018

Viongozi mbalimbali na watu mashuhuri wametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Winnie Mandela, aliyefariki dunia jana // Urusi imesema huenda Uingereza iliamuru kufanyika kwa shambulizi la sumu dhidi ya jasusi wa zamani wa Urusi kwa maslahi ya Uingereza // Marekani imeishutumu China baada ya kuanza kutoza ushuru bidhaa za Marekani zinazoingia nchini humo.

https://p.dw.com/p/2vO5K