1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Asubuhi tarehe 02.06.2018

John Juma
2 Juni 2018

Rais Trump atangaza kuwa mkutano wa kilele kati yake na Kim Jong Un utaendelea kama ilivyopangwa.// Waziri Mkuu wa Uhispania Mariano Rajoy aondolewa madarakani kufuatia kura ya bunge kukosa imani naye.// Marekani imezuia mswada wa Umoja wa Mataifa uliotaka kinga kwa Wapalestina

https://p.dw.com/p/2ypOY