Siku ya kimataifa dhidi ya uvutaji wa sigara
31 Mei 2012Matangazo
Hata hivyo wakati siku hii ikiadhimishwa Kimataifa ni wengi ambao wanaonekana kutofahamu juu ya siku hii.Tumekusanya maoni ya wananchi mbali mbali Afrika Mashariki na walikuwa na haya ya kusema.
(Kusikiliza maoni hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Saumu Mwasimba
Mhariri: Mohamed Abdulrahman