Shirika la WFP lagawa chakula jimboni Equatorial
4 Juni 2010Matangazo
Huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, shirika la mpango wa chakula duniani WFP, limeanza kuwagawia chakula wakimbizi wa jimbo la Equateur lililoko eneo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Takriban watu alfu ishirini na mbili tayari wanapokea chakula cha msaada kinachotolewa na shirika la WFP kwa hisani ya Ufaransa, Uingereza na Ujerumani. .Taarifa kamili anazo mwandishi wetu wa Kinshasa Saleh Mwanamilongo.