Hali ya hatari yatangazwa Misri baada ya shambulio la IS dhidi ya kanisa la Koptik kuelekea Pasaka,Wasweden waomboleza baada ya shambulio la kigaidi,Mji wa Kinshasa wazizima baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa na Sudan Kusini mapigano ya kikabila yazuka upya