Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imepinga vikali matamshi ya Balozi wa Ujerumani mjini Kinshasa
29 Machi 2007Matangazo
Hatua hiyo inafuatia mapigano ya wiki iliopita kati ya walinzi wa Bemba mjini Kinshasa na majeshi ya serikali, mapigano yaliosababisha vifo vya zaidi ya watu 150. Wakati huo huo serikali ya nchi hiyo imeyapinga vikali matamshi ya balozi wa Ujeruamni mjini Kinshasa kwamba ilitumia nguvu pasipohitajika.
Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa ametuletea ripoti kamili.