1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Selfie

Picha za kujipiga kwa kutumia kamera zilianza katikati mwa miaka ya 2000 wakati tekonolojia ya digitali ikipanuka, na mitandao ya kijamii ikianza kuwa maarufu. Mfumo huu ulikuwa wa vijana lakini sasa kila mmoja anautumia