1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sekta ya elimu barani Afrika inaimarika ama kuporomoka?

24 Januari 2018

Unaizungumziaje hali ya elimu barani Afrika, ikiwa ni pamoja na nchini mwako? Je unadhani inakidhi mahitaji na changamoto zilizopo sasa duniani? Je imeimarika ama imeporomoka? Katika makala haya ya Kinagaubaga, Mohammed Abdulrahman anazungumza na Prof. Benson Bana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, kuliangazia zaidi.

https://p.dw.com/p/2rPbJ