Rais wa zamani wa Uganda azikwa leo
11 Agosti 2010Matangazo
Aliyekuwa rais wa Uganda kuanzia mwezi juni 1979 hadi mei 1980, Godfrey Binaisa, amezikwa leo. Binaisa alifariki siku ya alhamisi wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka tisini. Serikali ya Uganda ilitangaza leo kuwa siku ya mapumziko nchini Uganda kwa heshima ya marehemu Godfrey Binaisa. Leyla Ndinda anaarifu zaidi kutoka Kampala.
Mwandishi: Leyla Ndinda
Mhariri: Othman Miraji