1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Raia wa Kongo wauawa licha ya kutangazwa hali ya dharura

Babu Abdalla4 Agosti 2021

Licha ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutangaza utawala wa kijeshi katika mikoa ya Kivu Kaskazini na Ituri, kundi la waasi la ADF limewaua watu 15 usiku wa kuamkia Jumanne katika kijiji cha Idohu. Je, serikali inapanga kuchukua hatua gani nyengine ili kuzuia umwagaji damu unaofanywa na kundi hilo.

https://p.dw.com/p/3yY07