OSAKA: Mkenya anyakua medali ya dhahabu
25 Agosti 2007Matangazo
Mwanariadha wa mbio za masafa marefu,Luke Kibet wa Kenya ameshinda mbio za marathon katika Mashindano ya Riadha Ulimwenguni,“World Athletics Championships“ yaliyofunguliwa hii leo katika mji wa Osaka nchini Japan.Kibet amemshinda Mubarak Hassan Shami wa Qatar kwa sekunde 1.18.Viktor Rothlin wa Uswissi amejinyakulia nafasi ya tatu.