1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NOUKCHOUT:Mauritania wasubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi

26 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCFF

Wananchi wa Mauritania wanasubiri matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa urais wa kidemokrasia toka nchi hiyo ipate uhuru wake mwaka 1960.

Raundi ya pili ya uchaguzi ilifanyika jana, baada ya uchaguzi wa kwanza wiki mbili zilizopiza.

Wagombea wawili waziri wa zamani, Sidi Ould Sheikh Abdellahi na kiongozi wa upinzani Ahmed Ould Daddah wanachuana kuwania nafasi hiyo.

Wote wawili waliwahi kufungwa nchini ya utawala wa kijeshi.Matokeo yanatarajiwa kutangazwa hii leo.