1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nigeria: Vijana wanaoshindana na Google

3 Desemba 2015

Osine Ikhianosime na Anesi Ikhianosime wameamsha matumaini katika mustakabali wa Nigeria kwa kuyajumuisha majina yao katika orodha ya watengenezaji wa App. Wameunda App ya simu ambayo tayari inatumika kimataifa

https://p.dw.com/p/1HGHh
Africa on the Move Osine und Anesi Ikhianosime
Picha: DW

Nigeria: Vijana wanaoshindana na Google

Osine Ikhianosime mwenye umri wa miaka 13 na Anesi Ikhianosime mwenye umri wa miaka 15 ambao walitengeneza kwa pamoja 'Crocodile Browser Lite' ni kaka wawili ambao wako katika mwaka wa tisa na 11 katika Shule ya Greensprings, Antony Campus mjini Lagos.