Mwandishi wa Habari auwawa na Polisi mjini Mbeya
3 Septemba 2012Matangazo
Mwangosi aliuwawa kutokana na mripuko wa bomu wakati wa purukushani za polisi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA zlizotokea katika ufunguzi wa matawi wa chama huko huko Mkoani Iringa. Kutoka Dar es salaam Sudi Mnette alizungumza na Mhariri Mkuu wa Habari, kituo cha Channel 10, Dina Chahali na kwanza alimuuliza kama mratibu wa habari, kifo cha mwandishi Mwangosi kimetokana na nini kwa ufahamu wake.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi:Sudi Mnette
Mhariri: Saumu Yusuf