Mvutano katika chama cha Rais Kibaki wa Kenya, PNU
25 Julai 2008Matangazo
Chama cha PNU kina vyama vitano wanachama kikiwemo KANU,Narc-Kenya,Safina,Ford-Kenya na Sisi kwa Sisi.Kwa mujibu wa mswada uliopitishwa bungeni hivi karibuni vyama vyote vya kisiasa nchini vinapaswa kuhakikisha kwamba hakuna mwanasiasa au mbunge anajiunga na zaidi ya chama kimoja cha siasa.Vyama hivyo vimepewa muda wa mwezi mmoja kutimiza hilo.
Kutoka Nairobi Mwandishi wetu Mwai Gikonyo anaarifu zaidi.